HIZI BAADHI YA TAARIFA NA RIPOTI MBALIMBALI ZA TUKIO LA MAKONDA NA MAJIBU YA RAIS MAGUFULI         wakati mwingine  huwa wanasema mkubwa hakosei lakini hakuna kitukama hicho hatakama ukiwa mkubwa wa aina gani lazima tu kutelezakupo mimi sijui kuwa muheshmiwa  hataki kukubali kama kakosea katika chaguolake au nivipi ILA SIO SAWA KUFUMBIA MACHO UWOVU WA KIONGOZI WAKE  AMBAE AMEMUWEKA MADALAKANI  KISHA AKIMSISITIZA WE CHAPAKAZI  JE, KAZI ULIOMPA NDIOHIYO YAKUVAMIA VITUOVYA  RADIO    ..apo anatakiwa hilojambo kulitazama kwa jicho lapili sio kutumia cheo na  kauli  au nafasi alionayo     HAKIKWANZA  MENGINE BAADAE                   ...                                                                                                     
Comments